WELCOME !

THANK YOU FOR VISITING THIS SITE. I HAVE BEEN USING BOTH SWAHILI AND ENGLISH LANGUAGE TO EXPRESS ISSUES - I HAVE ATTACHED ENGLISH VERSION TO SOME OF THE SWAHILI NEWS/STORY AT THE END.

Saturday 30 April 2016

WIZI MTANDAO KWENYE TAASISI ZA FEDHA BADO NI CHANGAMOTO

Teknolojia imeendelea kurahisisha maisha na kwa sasa kumekua na ukuaji wa matumizi ya simu za viganjani kufanya miamala ya fedha maeneo mengi ya bara la Afrika. Kufuatia ongezeko kubwa la watumiaji wa simu, mabenki na kampuni za simu zimeendelea kuhakiki simu zinatumika kufanya miamala ya kifedha.

Kwa mujibu wa ripoti ya mwaka jana (2015) ya GSMA State of the industry, huduma za kifedha kupitia simu kwa sasa zinapatikana katika nchi 93 duniani ikiwa na jumla ya huduma 271 kwa ujumla wake, kwa wastani watoa huduma za kifedha kupitia simu wana safirisha kiasi cha dola milioni 33 kwa siku. Takwimu hizi  zinategemewa kuendelea kukua.

Aidha, Mwaka jana (2015), European investment bank ilianisha Afrika kuongoza duniani kwa matumizi ya Simu za viganjani kufanya miamala yakifedha. Kwa Upande wa Nchi ya Kenya, asilimia 62 (62%) ya watu wake wamekua wakitumia simu za viganjani kufanya miamala ya kifedha.

-------------------------------------
NEWS UPDATE: Some of the contributing factors in the US $80 million theft from the Bangladesh central bank included the use of inexpensive, second-hand routers and the lack of a firewall. In addition, an investigation conducted by BAE Systems suggests the attackers tricked the SWIFT financial software with custom malware.
--------------------------------------

Imefika wakati, Tunaweza kulipia huduma mbali mbali, kuhamisha fedha, kununua bidhaa, na mambo mengine kadhaa kupitia simu zetu za viganjani. Urahisi huu katika maisha pia umeambatana na ukuaji wa wahalifu mtandao wanaoendelea kwa kasi kuja na njia tofauti tofauti kufanikisha wizi wa fedha zinazo patikana au kuhamishwa kupitia simu zetu za mikononi.

Wednesday 13 April 2016

BRAZIL'S CYBERCRIME BILL FALLS TO AMENDMENTS

Cybercrime is gaining popularity across borders as it has become more sophisticated, border-less nature and with tremendous destructive power. Cybercrime Law is among those key elements to fight cybercrimes in any Country, Yet the law itself is not enough. It must be accompanied by effective cybersecurity awareness programs, Capacity building (Enhancing knowledge to those dealing with cybercrimes) and collaborations (Internally and externally – Across borders).

Brazil like many other countries become among those with cybercrimes law in place. As of many countries, Pressure to amend its cyberlaw rise for the past few months.  After much pressure from Internet rights advocates, proponents of new cybercrime legislation in Brazil removed some of the most controversial elements of the bill on April 11. Critics of the draft amendments also managed to secure a postponing of the preliminary vote to the end of the month.

-------------------------------------------
NEWS UPDATES: Online messaging service, WhatsApp is now fully encrypted on all platforms. The end-to-end encryption means that WhatsApp cannot access the contents of communications, and would therefore be unable to comply with court orders demanding access to that information.
-------------------------------------------

The amendments form an integral part of a report from the parliamentary Inquiry Commission on Cybercrimes (CPI dos Crimes Cibernéticos), released on March 31, that would modify key aspects of Marco Civil, Brazil's globally celebrated ‘bill of rights’ for the Internet.